Portland Timbers bingwa wa ligi kuu MLS Klabu ya Portland Timbers imetwaa ubingwa wa ligi kuu ya soka nchini Marekani MLS kwa mara ya kwanza tangu ijiunge na ligi hiyo mwaka 2011 baada ya kuichapa Columbus Crew bao 2-1 kwenye mechi ya fainali. Read more about Portland Timbers bingwa wa ligi kuu MLS