Watakaokiuka agizo la rais kushtakiwa Mkoani Mara
Serikali mkoani mara imeagiza kukamatwa na kuchukuliwa hatua kali zikiwemo za kisheria mtu ama kikundi cha watu ambacho kitabinika kukwamisha oparesheni ya usafi wa mazingira kama ilivyotangazwa na Rais Dkt. John Magufuli