Simba na Ndanda Fc leo Mtwara Ligi kuu Bara Klabu ya wekundu wa Msimbazi Simba inashuka dimbani jioni ya hii leo huko mkoani mtwara kuumana na wenyeji wao Ndanda fc katika mchezo wa kiporo wa ligi kuu ya soka Tanzania bara. Read more about Simba na Ndanda Fc leo Mtwara Ligi kuu Bara