Serikali yaagiza upimaji haraka wa ardhi Kilosa
Serikali imeuagiza uongozi wa wilaya halmashauri ya wilaya ya Kilosa kushughulikia haraka upimaji wa viwanja katika eneo la shamba la masugu, kata ya magomeni wilayani humo, ambalo limetengwa maalum kwa ajili ya waathirika wa mafuriko.
