Zidane akitoa maelekezo kwa wachezaji wa Real Madrid mapema leo asubuhi,huku nyuma maelfu ya mashabiki wakishuhudia
Mashabiki 6000 wa Real Madrid wamejitokeza asubuhi ya leo kumwamgalia kocha mpya wa muda wa Real Madrid Zinedine Zidane akielekeza mazoezi kwa mara ya kwanza kwenye uwanja wa Valdebebas,mjini Madrid.