Koba Mc hana mpango na Afande Sele
Msanii Koba MC aliyeibukia katika muziki kutoka kundi la 'Watu Pori' wakiwakilisha Morogoro, ameeleza kuwa ukaribu wake na vilevile uwezekano wa yeye kufanya kazi na Afande Sele ambaye amemuweka katika ramani ya muziki haupo tena.