AT azibeza jitihada za Said Fella
Staa wa muziki AT, amezikandia jitihada zilizoanza kuchukuliwa kusimamia wasanii wa muziki kutoka Tanzania visiwani, kauli yake ikihusishwa na hatua ya msimamizi maarufu wa muziki hapa nchini, Said Fella kuchukua wasanii Baby J na Berry Black.