Rufftone atesa na ubalozi aliopewa

Nyota wa muziki Rufftone kutoka nchini Kenya

Nyota wa muziki Rufftone kutoka nchini Kenya, ameonekana kuanza kufurahia maisha mapya kama balozi wa mahusiano mema akiunganisha Kenya na Korea, akiwa sasa katika ratiba ya kukutana na viongozi wa juu huko nchini Korea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS