Kombe la FA kutifua nyasi mwishoni mwa wiki hii

Mechi za raundi ya 3 ya Kombe la FA, ambalo kwa sasa linaitwa Emirates FA Cup ambalo huzikutanisha Klabu za Ligi Kuu na ligi daraja la kwanza nchini Uingereza, mechi zake zitachezwa mwishoni mwa wiki hii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS