Mussa natty asimamishwa kazi, arudishwa Dar. Katibu mkuu ofisi ya Rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI), Jumanne Sagini amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati mkoani Manyara, Mussa Natty. Read more about Mussa natty asimamishwa kazi, arudishwa Dar.