Harmonise aguswa na kasi ya Magufuli
Harmonise, msanii wa muziki ambaye ameibuka kwa kasi katika chati za muziki wa Bongo Fleva, akiwakilisha kundi kubwa la mashabiki wake, amekuwa ni moja kati ya wasanii ambao wamezungumza juu ya kuridhishwa na kasi ya utendaji wa Rais Magufuli.