Yanga/Azam mikononi mwa waarabu

Kikosi cha Yanga ambacho kitaiwakilisha Tanzania katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika mwakani.

Ule msemo unaosema 'usiyempenda kaja' umeendelea kuliandama soka la Tanzania kimataifa mara baada ya timu za Tanzania kuendelea kupangwa kukutana na timu za warabu katika michuano ya CAF kwa vilabu barani Afrika, klabu bingwa na kombe la shirikisho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS