TCRA kuvifutia leseni vituo visivyolipia ada
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA), imekusudia kuwafutia leseni wamiliki wa Radio na Televisheni wanaokwepa kulipa ada zao sambamba na kwa makampuni ya simu yanayoshindwa kutoa huduma bora za mawasiliano kwa watanzania.