TCRA kuvifutia leseni vituo visivyolipia ada

Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya mawasiliano nchini, Dkt. Ally Yahaya Simba

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA), imekusudia kuwafutia leseni wamiliki wa Radio na Televisheni wanaokwepa kulipa ada zao sambamba na kwa makampuni ya simu yanayoshindwa kutoa huduma bora za mawasiliano kwa watanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS