Niliwahi kutaka kujiua kutokana na pombe- Squeezer Msanii mkongwe wa bongo fleva Squeezer amesimulia mkasa uliowahi kumtokea maishani mwake wa kujaribu kujiua, kwa kujirusha kwenye pantoni alipokuwa akivuka kwenda kigamboni jijini Dar es salaam. Read more about Niliwahi kutaka kujiua kutokana na pombe- Squeezer