Waziri Mwigulu afika Mvomero kutatua ugomvi
Waziri wa Kilimo, Uvuvi na Ufugaji Mh. Mwigulu Nchemba leo hii amefika Mvomero kijiji cha Dihinda kata ya Kanga kufuatilia na kuchukua hatua dhidi ya tukio baya la mauaji na kujeruhi binadamu na wanyama lililotokea Desemba 12/2015