Mabasi ya Mwendokasi kuanza Jan 10 : Majaliwa

Wazir mkuu Kassim majaliwa akitembea katika moja ya vituo vya mabasi ya mwendokasi

Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amewataka watendaji wa mradi wa mabasi yaendayo kasi (DART) na wadau wote kuhakikisha kuwa mradi huo unaanza kufanya kazi ifikapo Januari 10, 2016 kama walivyokubaliana kwenye kikao cha Novemba 27, 2015.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS