Mzungu kichaa azungumza mtaani

msanii wa miondoko ya bongofleva Mzungu Kichaa

Msanii Mzungu Kichaa ameamua kufanya mkakati wa kutambulisha bendi na timu yake nzima akizunguka na gari katika kona za mitaa ya Dar es Salaam, mchakato wa tofauti ambao pia umeenda sambamba na kupiga picha za kazi hiyo mpya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS