Mollel apinga matokeo ya ushindi wa Godbless Lema

Aliekua Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi Bw, Philemon Mollel

Mpinzani wake mkubwa wa Mbunge alietetea Jimbo lake la Arusha Mjini Godbless Lema,Bw. Philemon Mollel wa CCM ameyakataa matokeo hayo akidai kwamba uchaguzi huo ulikumbwa na dosari nyingi ambazo zimemyima ushindi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS