Mollel apinga matokeo ya ushindi wa Godbless Lema
Mpinzani wake mkubwa wa Mbunge alietetea Jimbo lake la Arusha Mjini Godbless Lema,Bw. Philemon Mollel wa CCM ameyakataa matokeo hayo akidai kwamba uchaguzi huo ulikumbwa na dosari nyingi ambazo zimemyima ushindi