TFF yatoa angalizo kwa klabu juu ya usajili

nembo ya shirikisho la soka nchini TFF

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limevitaka vilabu vyote nchini vya Ligi Kuu, Ligi Daraja la Kwanza na Ligi Daraja la Pili kuheshimu utaratibu uliowekwa wa usajili na utekelezaji wake, kwani TFF haitapendelea klabu yoyote katika suala hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS