TFF yatoa angalizo kwa klabu juu ya usajili
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limevitaka vilabu vyote nchini vya Ligi Kuu, Ligi Daraja la Kwanza na Ligi Daraja la Pili kuheshimu utaratibu uliowekwa wa usajili na utekelezaji wake, kwani TFF haitapendelea klabu yoyote katika suala hilo.