Aubameyang azua sintofahamu ndani ya Dortmund

Mshambuliaji wa kimataifa wa Gabon na klabu ya Borussia Dortmund Piere Emereck Aubameyang akishangilia moja ya goli alilofunga katika mechi ya ligi kuu nchini Ujerumani.

Uongozi wa klabu ya Borussia Dortmund ya Ujerumani umesema nyota wao Piere Emereck Aubameyang hakuhudhulia mazoezi ya jana ya klabu yao kutokana na masuala yake binafsi ambayo hayahusiani na suala la kutaka kuhama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS