Mtibwa yapeta michuano ya Mapinduzi

Kikosi cha wakatmiwa wa Mtibwa Sugar katika picha ya pamoja kikijiandaa kwa moja ya mechi za ligi kuu ya soka Tanzania bara.

Timu ya Mtibwa Sugar imeisukuma nje ya mashindano ya Mapinduzi timu ya Mafunzo ya visiwani Zanzibar baada ya kuifunga kwa bao 1-0 kwenye mchezo wa kwanza uliochezwa leo kwenye uwanja wa Amaan.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS