Yanga yaifuata Simba 16 bora TFF Cup

Yanga SC imefuzu hatua ya 16 Bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), baada ya kuichapa mabao 3-0 Friends Rangers jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS