Simba SC yatinga 16 bora FA, yampiga mwenyeji 3-0 Simba SC imefuzu Raundi ya nne ya Kombe la Shirikisho FA Cup baada ya kuwachapa wenyeji Burkina Faso mabao 3-0 jioni ya leo wanja wa Jamhuri, Morogoro. Read more about Simba SC yatinga 16 bora FA, yampiga mwenyeji 3-0