Dkt. Magufuli amaliza kazi ya uteuzi mawaziri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea jana wakati akitangaza uteuzi wa Mawaziri waliobaki baada ya uteuzi wa kwanza.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemalizia kujaza nafasi za uteuzi wa mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza baraza la mawaziri la kwanza katika awamu ya tano ya utawala wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS