Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mheshimiwa George Simbachawene akizungumza na Wanahabari kuhusu kumsimamisha kazi Mtendaji Mkuu wa DART, Bi. Estaria Mlambo kuanzia tarehe 23.
Serikali imemsimamkisha kazi Mtendaji Mkuu wa mradi wa mabasi yaendayo kasi (DART), Bi. Asteria Mlambo kupisha uchunguzi dhidi ya ukiukwaji wa sheria ya manunuzi katika mradi huo.