Soka ufukweni Zanzibar mshindi wa Pili Afrika
Kikosi cha timu ya Taifa ya Zanzibar kwa soka la ufukweni (Sand Heroes) kimerejea visiwani Zanzibar na kombe la ushindi wa pili kwenye mashindano ya Afrika ya soka la ufukweni yaliofanyika nchini Kenya kuanzia Disemba 18 mpaka Disemba 20 Disemba.