JWTZ yafafanua Rais kuvaa kijeshi Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ limetoa ufafanuzi kuhusu uhalali wa Rais Magufuli kuvaa mavazi ya kijeshi na kupita nayo mitaani, huku mavazi hayo yakiwa hayaoneshi cheo chake. Read more about JWTZ yafafanua Rais kuvaa kijeshi