Mwijage ataka Tanzania isiwe nchi ya bidhaa feki
Waziri wa Viwanda Biashara na Uwekezaji Mh. Charles Mwijage amewataka wasimamizi na watafiti wa wizara yake kuhakikisha Tanzania haiingizi bidhaa zisizokidhi viwango ili kuhakikisha Tanzania inasonga mbele kiuchumi.