Magufuli awatunuku kamisheni maafisa 205 wa jeshi RAIS, Dk .John Magufuli leo amewatunuku Kamisheni kwa Cheo cha Luteni Usu, Maafisa Wanafunzi Wapya 205 pamoja na kutoa Nishani kwa Maafisa watano waliofanya vizuri kwenye masomo yao. Read more about Magufuli awatunuku kamisheni maafisa 205 wa jeshi