Polisi aua Mwenzake na kisha kujiua Mwanza

Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza, Justus Kamugisha.

Polisi wawili wa kituo kikuu cha polisi jijini Mwanza, wamefariki dunia baada ya mmoja wao kumpiga risasi ya bega askari mwenzake kisha naye kujipiga risasi chini ya kidevu na kutokea kichwani na kupelekea umauti.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS