Timu za nje Mapinduzi Cup zimeleta changamoto: TFF Shirikisho la Soka Tanzania TFF limesema waandaaji wa mashindano ya kombe la Mapinduzi ambao ni Shirikisho la Soka Zanzibar ZFA wamesaidia kuzidi kukuza viwango vya soka kwa wachezaji. Read more about Timu za nje Mapinduzi Cup zimeleta changamoto: TFF