Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akizungumza
Serikali ya Tanzania imeamua kulifungia na kulifuta kutoka katika daftari la usajili wa magazeti, gazeti lugha ya Kiswahili la Mawio ambapo pia hatua hiyo pia inazuia gazeti hilo kuchapishwa katika njia ya mtandao.