Mrisho Mpoto apewa presha na mashabiki
Nyota wa mashairi ambaye pia ni msanii wa muziki nchini Mrisho Mpoto amesema kuwa amepata presha kutoka kwa mashabiki na watu mbalimbali kuhusiana na ukimya wake wa kuchelewa kutoa kazi na kuonekana kupotea katika sekta hiyo ya muziki.

