Tume ya haki za binadamu yanena kuhusu bunge la 11
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) inafanyia uchambuzi taarifa ya serikali kupunguza muda wa matangazo ya bunge ya moja kwa moja ili kuona kama uamuzi huo hautaingilia haki ya wananchi kupata habari chini ya Ibara ya 18(d) ya Katiba

