Niyonzima awaangukia wanayanga arudishwe kundini

Kiungo wa Yanga Haruna Niyonzima katika moja ya michezo ya timu hiyo.

Mtoto akijisaidia kwenye mkono haukati, ni moja ya misemo ambayo unaweza kuutumia katika sakata la kiungo aliyetupiwa virago na Yanga hivi karibuni Niyonzima mara baada ya hii leo kujitokeza hadharani nakuwaangukia wanayanga wamrudishe kundini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS