CECAFA Challenge Sudan, Kagame Cup Zanzibar: 2016
Wakati Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) likimteua Mwenyekiti wa zamani wa baraza hilo, Leodegar Tenga kuwa mwenyekiti wa heshima, limetangaza kuwa mashindano ya mwaka huu ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECA