JKT ziwe na vyuo vya VETA - Zitto Kabwe Mbunge wa jimbo la Kigoma mjini Zitto Zuberi Kabwe, ameitaka serikali na bunge kupitisha uamuzi kuhusu kuongeza vyo vya ufundi stadi hapa nchini, kwa kuyatoa mafunzo hayo kwenye kambi za JKT. Read more about JKT ziwe na vyuo vya VETA - Zitto Kabwe