Msanii Mani Martin toka Rwanda afunguka

Mani Martin

Msanii Mani Martin kutoka Rwanda ambaye anafanya vizuri sasa katika gemu la muziki wa Afrika Mashariki kupitia wimbo wake wa 'Same room', amezungumzia uzoefu mkubwa alioupata wakati alipopanda katika jukwaa la Sauti za busara Zanzibar mwaka 2013

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS