Bei ya mafuta yashuka tena

Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Felix Ngalamgosi

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imeshusha bei ya mafuta ya aina ya dizeli kwa shilingi 1600 kwa mkoa wa Dar es salaam kutoka shilingi 1747 ikiwa ni shilingi 147 chini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS