Simba yamchapa Mgambo, yanga yatoa sare Mbeya

Mchezaji wa Simba SC Ibrahim Ajib akiwa amembeba Hamisi Kiiza wakishangilia moja ya magoli yao kwenye mchezo dhidi ya Mgambo JKT

Simba SC imejiweka sawa kwenye mbio za ubingwa wa ligi kuu baada ya kuifunga Mgambo JKT mabao 5-1 jioni ya leo uwanja wa Taifa huku Yanga ikipoteza matumaini baada ya kutoa sare ya 2-2 dhidi ya Prisons jijini Mbeya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS