Wauguzi 9 kufikishwa mahakamani Mafinga

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mafinga,Shaibu Nnunduma

Halmashauri ya mji wa Mafinga imepanga kuwafikisha mahakamani watumishi 9 wa hospitali ya wilaya ya Mufindi wanaodaiwa kufanya uzembe kazini na kusababisha vifo vya baadhi ya wajawazito wanaofika kujifungua katika hospitali hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS