Wauguzi 9 kufikishwa mahakamani Mafinga
Halmashauri ya mji wa Mafinga imepanga kuwafikisha mahakamani watumishi 9 wa hospitali ya wilaya ya Mufindi wanaodaiwa kufanya uzembe kazini na kusababisha vifo vya baadhi ya wajawazito wanaofika kujifungua katika hospitali hiyo.
