Simba yamchapa Mgambo, yanga yatoa sare Mbeya
Simba SC imejiweka sawa kwenye mbio za ubingwa wa ligi kuu baada ya kuifunga Mgambo JKT mabao 5-1 jioni ya leo uwanja wa Taifa huku Yanga ikipoteza matumaini baada ya kutoa sare ya 2-2 dhidi ya Prisons jijini Mbeya.

