Tanzania kudumisha uhusiano na nchi rafiki

Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Augustino Maiga akizungumza, Dar es Salaam

Serikali imesema itaendelea kudumisha na kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia kati ya nchi rafiki na wadau wa maendeleo ili kuiwezesha Tanzania kufikia uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025 na kutimiza malengo ya mpango wa maendeleo endelevu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS