Lowassa ataka mazungumzo Zanzibar yaongeze wadau
Waziri Mkuu wa Zamani na Aliyekua Mgombea Urais kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mhe. Edward Lowassa ametaka kupanuliwa kwa wigo wa mazungumzo ya mgogoro wa kisiasa visiwani Zanzibar.