Lowassa ataka mazungumzo Zanzibar yaongeze wadau

Waziri Mkuu wa Zamani na Aliekua Mgombea Urais kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mhe. Edward Lowassa

Waziri Mkuu wa Zamani na Aliyekua Mgombea Urais kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mhe. Edward Lowassa ametaka kupanuliwa kwa wigo wa mazungumzo ya mgogoro wa kisiasa visiwani Zanzibar.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS