Ajenda ya UKAWA yatekelezwa kwa vitendo bungeni.
Ajenda ya kambi ya upinzani Bungeni kutokuwa na imani na naibu spika wa Bunge Tulia Ackson Mwasasu imeanza kutekelezwa kwa vitendo baada ya wabunge wa upinzani kutoka nje baada ya Naibu Spika kuanza kuongoza kikao cha bunge na wabunge hao kutoka nje.