Juma Abdul aanza mazoezi kuiwinda TP Mazembe Beki hodari wa kulia wa Klabu ya Yanga Juma Abdul Mnyamani ameanza mazoezi rasmi mara baada ya kuendelea vizuri kwa hali ya kifundo cha mguu wake kilichopelekea kushindwa kucheza dhidi ya Mo Bejaia. Read more about Juma Abdul aanza mazoezi kuiwinda TP Mazembe