Juma Abdul aanza mazoezi kuiwinda TP Mazembe

Beki hodari wa kulia wa Klabu ya Yanga Juma Abdul Mnyamani ameanza mazoezi rasmi mara baada ya kuendelea vizuri kwa hali ya kifundo cha mguu wake kilichopelekea kushindwa kucheza dhidi ya Mo Bejaia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS