Chidy akirudia madawa Tale na Kalapina wanahusika

Msanii wa Bongo Fleva Chidy Benzi

Baada ya stori kuzagaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii dhidi ya rapa Chidi Benzi kutoroka Bagamoyo Sober House alipokuwa akipata matibabu baaada ya kuathirika na matumizi ya dawa za kulevya sasa watu wa Sober House wamenyoosha maelezo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS