Marcus Rashford sasa rasmi kikosi cha Uingereza
Kocha Roy Hodgson ametaja kikosi chake cha wachezaji 23 wa timu ya taifa ya Uingereza huku mchezaji kijana wa Manchester United, Marcus Rashford, akijumuishwa katika kikosi hicho kitakachocheza michuano ya Mabingwa wa Ulaya, Euro 2016.