Yanga yamsainisha Twite yamtema Issoufou Boubacar
Beki Mkongo mwenye uwezo wa kucheza nafasi za kiungo Mbuyu Junior Twite ameongeza Mkataba wa miaka miwili kuendelea kuichezea klabu ya Yanga huku kiungo kutoka Niger Issoufou Boubacar Garba amepewa barua ya kuvunjiwa Mkataba.