Mashindano ya Dance100% yaanza kwa hamasa kubwa

Kundi la Mafia Crew lilipokuwa likionyesha uwezo wao shindano la Dance100%

Mashindano ya kusaka vipaji kwa vijana wenye uwezo wa kucheza maarufu kama Dance100% msimu wa mwaka huu 2016 yameanza jana katika viwanja vya Leaders Jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na mamia ya wananchi kutoka maeneo mbalimbali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS