Yanga yamsainisha Twite yamtema Issoufou Boubacar

Kiungo Mniger Issoufou Boubacar kulia akiwa na Mkuu wa kitengo cha habari na mahusiano cha Klabu ya Yanga Jerry Muro

Beki Mkongo mwenye uwezo wa kucheza nafasi za kiungo Mbuyu Junior Twite ameongeza Mkataba wa miaka miwili kuendelea kuichezea klabu ya Yanga huku kiungo kutoka Niger Issoufou Boubacar Garba amepewa barua ya kuvunjiwa Mkataba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS