Gareth Bale atamba kuibomoa Uingereza hii leo Mshambuliaji wa Wales Gareth Bale amesema wanajua udhaifu wa Uingereza na watatumia mapungufu yao kuwafunga kwenye mchezo wa leo michuano ya Euro 2016 kwenye mji wa Lens. Read more about Gareth Bale atamba kuibomoa Uingereza hii leo