Wanawake na vijana watakiwa kuacha utegemezi
Mkurugenzi wa shirika la kusaidia na kutetea haki za wanawake na makundi maalum nchini Bi Mary Lusimbi amesema wameamua kuwasaidia wanawake kupata haki zao kikamilifu ili kupinga dhana ya wanawake kuwa tegemezi kila wakati.

