Tanzania kuwa mwenyeji mkutano wa mawasiliano Tanzania inategemewa kuwa mwenyeji wa mkutano utakaowakutanisha wadau mbalimbali kutoka Afrika na Dunia kwa ujumla kwa lengo la kujadili jinsi ya kupambana na masuala ya uhalifu wa kimtandao. Read more about Tanzania kuwa mwenyeji mkutano wa mawasiliano