CHABATA yataka mikoa iandae wachezaji wa baiskeli Ikiwa safari ya kushiriki mashindano makubwa ya baiskeli ya Tour of Rwanda imeiva, vyama vya mikoa vya mchezo huo, vimekumbushwa kuandaa mapema wachezaji wao kabla ya kuitwa timu ya Taifa. Read more about CHABATA yataka mikoa iandae wachezaji wa baiskeli