DJ JD awataka wenzake kujenga nidhamu katika kazi DJ John Dilinga Dj maarufu na mkongwe hapa nchini Tanzania John Dilinga a.k.a Dj JD amewataka Ma DJ nchini kuheshimu kazi zao na kuepuka anasa zisizo na maana zinazoweza kuwaharibia kazi. Read more about DJ JD awataka wenzake kujenga nidhamu katika kazi