kutoka kushoto ni Ibrahim Ajib (Bao bora), Aishi Manula(Kipa Bora), Juma Abdul(Mchezaji bora), Amis Tambwe(Mfungaji bora),
Thabani Kamusoko(Mchezaji Bora wa Kigeni), Mohamed Hussein Tshabalala(Mchezaji Bora Chipukizi)
Beki wa Yanga Juma Abdul ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara msimu wa 2015/2016.