Prof. Makame Mbarawa (alienyoosha kidole), akiwa katika moja ya ziara zake za Ukaguzi wa Ujenzi wa Barabara.
Serikali imesema haitatoa kazi tena kwa kampuni za makandarasi wa barabara watakaobainika kufanya kazi chini ya kiwango na kuisababishia hasara serikali.