Rais Magufuli ateua Makamu Mwenyekiti Bodi ya TCAA
Rais Magufuli (aliyekaa) akiwa na baadhi ya watendaji wa Ikulu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Prof. Longinus Kyaruzi Rutasitara kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA).