Wakuu wa wilaya walioachwa hawakufikia vigezo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amesema kwamba wakuu wa wilaya ambao walikuwa wakifanya kazi hiyo katika maeneo mbalimbali na kuachwa katika uteuzi wake maana yake hawakukidhi vigezo vinavyotakiwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS