Aliemdhihaki rais Magufuli ahukumiwa

Mtuhumiwa Isack Habakuki aliemtusi rais Magufuli akiwa chini ya Ulinzi wa Polisi.

Mtuhumiwa Isack Habakuki amehukumiwa jana na Mahakama ya hakimu Mkazi Arusha, kulipa faini ya Sh. Milioni 7, baada ya kupatikana na kosa la kumwita Rais Dk.Magufuli kuwa ni bwege kupitia mtandao wa kijamii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS