Sina tatizo na Twanga Pepeta - Super Nyamwela
Mwanamuziki na dansa maarufu nchini Super Nyamwela, ametangaza rasmi kuanzisha kikundi chake cha ngoma za asili ambcho pamoja na ngoma za asili, kitakuwa na watu ambao watakuwa wanachezea vitu mbalimbali kama vile nyoka na moto.