Brazil yaipiga Haiti Kijerumani yaidondoshea wiki.

Philippe Coutinho akishangilia moja ya mabao yake matatu wakati Brazil ikiibuka na ushindi wa 7-1 dhidi ya Haiti

Unaweza kusema ni kama kisasi wakikumbuka kipigo cha aibu walichokipata wao cha mabao 7-1 toka kwa Wajerumani katika michano ya kombe la dunia mwaka 2014 Brazil nao wametoa kichapo kama hicho kwa Haiti alfajili ya leo huko nchini Marekani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS