Sehemu ya wakuu wa wilaya waliohudhuria hafla hiyo, leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa wakuu wa wilaya watatu ambao walikuwa miongoni mwa wakuu wa wilaya 139 walioteuliwa hivi karibuni.