Mahakama ya Mafisadi italikomboa taifa-Ole Sendeka

Msemaji wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Christophe Ole Sendeka

Msemaji wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Christophe Ole Sendeka amesema kitendo cha serikali kutenga fedha shilingi bilioni 2.5 kwa ajili ya Mahakama ya Mafisadi kitasaida kwa kiasi kikubwa kupambana na tatizo hilo ambalo limekuwa likiitafuna nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS